Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na ikawa kwamba Isaka alipokuwa mzee na macho yake yalikuwa yameingia giza mno asiweze kuona,+ akamwita Esau mwana wake mkubwa na kumwambia:+ “Mwanangu!” naye akamjibu: “Mimi hapa!”

  • Mwanzo 48:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Amelaaniwa yule ambaye humpotosha kipofu njiani.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • 1 Samweli 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na ikawa kwamba siku hiyo Eli alikuwa amelala mahali pake, na macho yake yalikuwa yameanza kuingia giza;+ hakuweza kuona.

  • Zaburi 90:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+

      Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+

      Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+

      Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+

  • Mhubiri 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 katika siku ambayo watunzaji wa nyumba+ wanatetemeka, nao wanaume wenye nguvu wameinama,+ na wanawake wanaosaga+ wameacha kufanya kazi kwa sababu wamekuwa wachache, na mabibi wanaochungulia madirishani+ wameona giza;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki