1 Wafalme 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tazama, palikuwa na mtu+ wa Mungu aliyekuwa amekuja kutoka Yuda kwa neno+ la Yehova ili kwenda Betheli, Yeroboamu alipokuwa amesimama kando ya madhabahu+ ili kufukiza moshi wa dhabihu.+ 1 Wafalme 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akamwambia Eliya: “Nina nini nawe,+ Ee mtu wa Mungu wa kweli? Umekuja kwangu ili kurudisha kumbukumbu la kosa langu+ na kumuua mwanangu.” Waebrania 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Mungu, ambaye zamani za kale alisema katika pindi nyingi+ na katika njia nyingi na mababu zetu kupitia manabii,+
13 Na tazama, palikuwa na mtu+ wa Mungu aliyekuwa amekuja kutoka Yuda kwa neno+ la Yehova ili kwenda Betheli, Yeroboamu alipokuwa amesimama kando ya madhabahu+ ili kufukiza moshi wa dhabihu.+
18 Ndipo akamwambia Eliya: “Nina nini nawe,+ Ee mtu wa Mungu wa kweli? Umekuja kwangu ili kurudisha kumbukumbu la kosa langu+ na kumuua mwanangu.”
1 Mungu, ambaye zamani za kale alisema katika pindi nyingi+ na katika njia nyingi na mababu zetu kupitia manabii,+