Mwanzo 32:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nalo jua likaanza kuangaza juu yake mara tu alipopita karibu na Penueli, naye alikuwa akichechemea kwenye paja lake.+ Waamuzi 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi akawaambia pia watu wa Penueli: “Nitakaporudi kwa amani, nitaubomoa mnara huu.”+ Waamuzi 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akabomoa mnara+ wa Penueli,+ kisha akawaua watu wa jiji hilo.
31 Nalo jua likaanza kuangaza juu yake mara tu alipopita karibu na Penueli, naye alikuwa akichechemea kwenye paja lake.+