Mwanzo 32:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nalo jua likaanza kuangaza juu yake mara tu alipopita karibu na Penueli, naye alikuwa akichechemea kwenye paja lake.+ Waamuzi 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akatoka hapo na kwenda Penueli,+ akasema nao vivyo hivyo, lakini watu wa Penueli wakamjibu kama vile watu wa Sukothi walivyokuwa wamemjibu. 1 Wafalme 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Yeroboamu akajenga Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, akakaa humo. Kisha akatoka huko, akajenga Penueli.+
31 Nalo jua likaanza kuangaza juu yake mara tu alipopita karibu na Penueli, naye alikuwa akichechemea kwenye paja lake.+
8 Naye akatoka hapo na kwenda Penueli,+ akasema nao vivyo hivyo, lakini watu wa Penueli wakamjibu kama vile watu wa Sukothi walivyokuwa wamemjibu.
25 Na Yeroboamu akajenga Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, akakaa humo. Kisha akatoka huko, akajenga Penueli.+