- 
	                        
            
            2 Samweli 17:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
6 Basi Hushai akaingia kwa Absalomu. Ndipo Absalomu akamwambia: “Ahithofeli amesema hivi na vile. Je, tutende kulingana na neno lake? Ikiwa sivyo, wewe useme.”
 
 -