Mambo ya Walawi 23:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+ Hesabu 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote,+ nanyi mtamfanyia Yehova sherehe kwa siku saba.+ 1 Wafalme 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi wanaume wote wa Israeli wakakusanyika kwa Mfalme Sulemani katika mwezi wa Ethanimu katika sherehe,+ yaani, mwezi wa saba.+
34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+
12 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote,+ nanyi mtamfanyia Yehova sherehe kwa siku saba.+
2 Basi wanaume wote wa Israeli wakakusanyika kwa Mfalme Sulemani katika mwezi wa Ethanimu katika sherehe,+ yaani, mwezi wa saba.+