Methali 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+ Methali 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa mpumbavu, hekima ya kweli iko juu mno;+ hatafungua kinywa chake langoni. Isaya 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami hakika nitawafanya wavulana kuwa wakuu wao, na nguvu za kidhalimu zitatawala juu yao.+
20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+