Waamuzi 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Katika siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mmoja alikuwa na mazoea ya kufanya yaliyokuwa mema machoni pake mwenyewe.+ Mhubiri 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ewe nchi, itakuwaje kwako wakati mfalme wako ni mvulana+ na wakuu wako huendelea kula hata asubuhi?
25 Katika siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mmoja alikuwa na mazoea ya kufanya yaliyokuwa mema machoni pake mwenyewe.+
16 Ewe nchi, itakuwaje kwako wakati mfalme wako ni mvulana+ na wakuu wako huendelea kula hata asubuhi?