Methali 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu mwenye dhihaka ametafuta hekima, asiipate; lakini kwa mtu mwenye uelewaji, ujuzi ni jambo rahisi.+ 1 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.
6 Mtu mwenye dhihaka ametafuta hekima, asiipate; lakini kwa mtu mwenye uelewaji, ujuzi ni jambo rahisi.+
14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.