Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo wale vijana waliokua pamoja naye wakamwambia, wakisema: “Waambie hivi watu ambao wamesema nawe, ‘Baba yako aliifanya nira yetu kuwa nzito, lakini wewe ifanye iwe rahisi juu yetu’; wewe waambie hivi,+ ‘Kidole changu kidogo kwa hakika kitakuwa kinene kuliko kiuno cha baba yangu.+

  • Zaburi 140:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yule mwenye kuongea makuu—na asifanywe imara duniani.+

      Mtu wa jeuri—uovu na umwinde kwa mapigo yenye kurudiwa.+

  • Methali 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Midomo ya mtu aliye mjinga huingia katika mabishano,+ na kinywa chake huitisha mapigo.+

  • Methali 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Majivuno ya mtu wa udongo yatamshusha,+ lakini yeye aliye na roho ya unyenyekevu atapata utukufu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki