10 Ndipo wale vijana waliokua pamoja naye wakamwambia, wakisema: “Waambie hivi watu ambao wamesema nawe, ‘Baba yako aliifanya nira yetu kuwa nzito, lakini wewe ifanye iwe rahisi juu yetu’; wewe waambie hivi,+ ‘Kidole changu kidogo kwa hakika kitakuwa kinene kuliko kiuno cha baba yangu.+