11 Na sasa baba yangu aliweka juu yenu nira nzito, lakini mimi nitaizidisha nira yenu.+ Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.’”+
5 Na watu kwa kweli wataoneana, kila mmoja na mwenzake.+ Watashambulia, mvulana juu ya mwanamume mzee,+ na mwenye kupuuzwa juu ya mtu aliye wa kuheshimiwa.+