2 Mambo ya Nyakati 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo. Methali 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mwanamume mwenye fadhili zenye upendo anaitendea kwa kuipa thawabu nafsi yake mwenyewe,+ lakini mtu mkatili anajiletea taabu.+
10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo.
17 Mwanamume mwenye fadhili zenye upendo anaitendea kwa kuipa thawabu nafsi yake mwenyewe,+ lakini mtu mkatili anajiletea taabu.+