1 Wafalme 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na palikuwa na Yeroboamu+ mwana wa Nebati, Mwefraimu, kutoka katika Sereda, mtumishi wa Sulemani,+ na jina la mama yake lilikuwa Serua, mwanamke mjane. Yeye pia akaanza kunyoosha mkono wake juu ya mfalme.+
26 Na palikuwa na Yeroboamu+ mwana wa Nebati, Mwefraimu, kutoka katika Sereda, mtumishi wa Sulemani,+ na jina la mama yake lilikuwa Serua, mwanamke mjane. Yeye pia akaanza kunyoosha mkono wake juu ya mfalme.+