1 Wafalme 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa;+ kwa maana wao walikuwa ndio mashujaa wa vita na watumishi wake na wakuu wake na maamiri wasaidizi wake na wakuu wa waendesha-magari wake na wakuu wa wapanda-farasi wake.+ 2 Mambo ya Nyakati 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Yeroboamu+ mwana wa Nebati, mtumishi+ wa Sulemani mwana wa Daudi, akasimama na kumwasi+ bwana wake.+
22 Na Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa;+ kwa maana wao walikuwa ndio mashujaa wa vita na watumishi wake na wakuu wake na maamiri wasaidizi wake na wakuu wa waendesha-magari wake na wakuu wa wapanda-farasi wake.+
6 Na Yeroboamu+ mwana wa Nebati, mtumishi+ wa Sulemani mwana wa Daudi, akasimama na kumwasi+ bwana wake.+