- 
	                        
            
            Mhubiri 4:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        8 Kuna mtu aliye peke yake, asiye na rafiki yeyote; hana mwana wala ndugu, lakini kazi yake yote ngumu haina mwisho. Macho yake hayatosheki kamwe na utajiri.+ Lakini je, yeye hujiuliza, ‘Ninafanya kazi kwa bidii na kujinyima* vitu vyema kwa ajili ya nani’?+ Hili pia ni ubatili na ni kazi inayosikitisha.+ 
 
-