Methali 27:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kaburi na mahali pa maangamizi* havitosheki kamwe,+Wala macho ya mwanadamu hayatosheki kamwe. Mhubiri 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Anayependa fedha hatatosheka na fedha, wala anayependa mali hatatosheka na mapato.+ Hili pia ni ubatili.+
10 Anayependa fedha hatatosheka na fedha, wala anayependa mali hatatosheka na mapato.+ Hili pia ni ubatili.+