22 Kwa kweli mtu hupata faida gani kutokana na kazi yake yote ngumu na tamaa inayomchochea kufanya kazi kwa bidii chini ya jua?+ 23 Kwa maana siku zake zote, kazi yake humletea maumivu na kumkatisha tamaa,+ na hata usiku moyo wake haupumziki.+ Hili pia ni ubatili.