Ayubu 14:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanadamu anayezaliwa na mwanamke,Maisha yake ni mafupi+ na yamejaa taabu.*+ 2 Huchanua kama ua na kisha hunyauka;*+ Hukimbia kama kivuli na kutoweka.+ Luka 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Basi acheni kutafuta kile mtakachokula au mtakachokunywa, na acheni kuhangaika kwa wasiwasi;+
14 “Mwanadamu anayezaliwa na mwanamke,Maisha yake ni mafupi+ na yamejaa taabu.*+ 2 Huchanua kama ua na kisha hunyauka;*+ Hukimbia kama kivuli na kutoweka.+