Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku za mwanadamu anayeweza kufa ni kama za majani;+

      Yeye huchanua kama ua la shambani.+

      16 Lakini upepo unapovuma, linatoweka,

      Kana kwamba halikuwahi kuwepo.*

  • Isaya 40:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Sikilizeni! Kuna mtu anayesema: “Tangaza!”

      Mwingine anauliza: “Nitangaze nini?”

      “Wote wenye mwili* ni majani mabichi.

      Upendo wao wote mshikamanifu ni kama ua la shambani.+

  • Yakobo 1:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 naye tajiri katika kushushwa kwake,+ kwa sababu atapitilia mbali kama ua la shambani. 11 Kwa maana kama jua linavyochomoza pamoja na joto lake linalounguza na kufanya mmea unyauke, na ua lake lianguke na kuharibu urembo wake wa nje, vivyo hivyo pia, tajiri atanyauka katika mambo anayofuatilia.+

  • 1 Petro 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana “wote wenye mwili ni kama nyasi, na utukufu wao wote ni kama ua la shambani; nyasi hukauka, na ua huanguka,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki