Ayubu 14:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanadamu anayezaliwa na mwanamke,Maisha yake ni mafupi+ na yamejaa taabu.*+ 2 Huchanua kama ua na kisha hunyauka;*+ Hukimbia kama kivuli na kutoweka.+ Zaburi 90:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Unawafagilia mbali;+ wanakuwa kama usingizi tu;Asubuhi, wao ni kama majani yanayochipuka.+ 6 Asubuhi yanachanua maua na kusitawi,Lakini ifikapo jioni yamenyauka na kukauka.+
14 “Mwanadamu anayezaliwa na mwanamke,Maisha yake ni mafupi+ na yamejaa taabu.*+ 2 Huchanua kama ua na kisha hunyauka;*+ Hukimbia kama kivuli na kutoweka.+
5 Unawafagilia mbali;+ wanakuwa kama usingizi tu;Asubuhi, wao ni kama majani yanayochipuka.+ 6 Asubuhi yanachanua maua na kusitawi,Lakini ifikapo jioni yamenyauka na kukauka.+