1 Mambo ya Nyakati 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji, kama walivyokuwa mababu zetu wote.+ Kwa kuwa siku zetu duniani ni kama kivuli+—hatuna tumaini. Zaburi 102:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku zangu zinafifia kama kivuli,*+Nami ninanyauka kama majani.+ Zaburi 144:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu ni kama pumzi tu;+Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+
15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji, kama walivyokuwa mababu zetu wote.+ Kwa kuwa siku zetu duniani ni kama kivuli+—hatuna tumaini.