1 Mambo ya Nyakati 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji, kama walivyokuwa mababu zetu wote.+ Kwa kuwa siku zetu duniani ni kama kivuli+—hatuna tumaini. Ayubu 14:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanadamu anayezaliwa na mwanamke,Maisha yake ni mafupi+ na yamejaa taabu.*+ 2 Huchanua kama ua na kisha hunyauka;*+ Hukimbia kama kivuli na kutoweka.+
15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji, kama walivyokuwa mababu zetu wote.+ Kwa kuwa siku zetu duniani ni kama kivuli+—hatuna tumaini.
14 “Mwanadamu anayezaliwa na mwanamke,Maisha yake ni mafupi+ na yamejaa taabu.*+ 2 Huchanua kama ua na kisha hunyauka;*+ Hukimbia kama kivuli na kutoweka.+