Mambo ya Walawi 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Kwa hiyo ardhi haipaswi kuuzwa kwa muda wa kudumu,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wageni na wahamiaji machoni pangu.+ Waebrania 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Katika imani hawa wote walikufa, ingawa hawakupokea utimizo wa zile ahadi;+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba walikuwa wageni na wakaaji wa muda katika nchi.
23 “‘Kwa hiyo ardhi haipaswi kuuzwa kwa muda wa kudumu,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wageni na wahamiaji machoni pangu.+
13 Katika imani hawa wote walikufa, ingawa hawakupokea utimizo wa zile ahadi;+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba walikuwa wageni na wakaaji wa muda katika nchi.