Ayubu 14:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanadamu anayezaliwa na mwanamke,Maisha yake ni mafupi+ na yamejaa taabu.*+ 2 Huchanua kama ua na kisha hunyauka;*+ Hukimbia kama kivuli na kutoweka.+ Zaburi 102:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Moyo wangu umepigwa kama majani na umenyauka,+Kwa maana ninasahau kula chakula changu.
14 “Mwanadamu anayezaliwa na mwanamke,Maisha yake ni mafupi+ na yamejaa taabu.*+ 2 Huchanua kama ua na kisha hunyauka;*+ Hukimbia kama kivuli na kutoweka.+