Methali 27:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kaburi* na mahali pa uharibifu+ hazitosheki;+ wala macho ya mwanadamu hayatosheki.+ Mhubiri 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Anayependa fedha hatatosheka na fedha, wala anayependa mali hatatosheka na mapato.+ Hilo pia ni ubatili.+
10 Anayependa fedha hatatosheka na fedha, wala anayependa mali hatatosheka na mapato.+ Hilo pia ni ubatili.+