11 Na mimi, naam, mimi nikageuka kuelekea kazi zangu zote ambazo mikono yangu ilikuwa imefanya na kuelekea kazi ngumu niliyokuwa nimejitahidi kuitimiza,+ na, tazama! kila kitu kilikuwa ubatili na kufuatilia upepo,+ wala hapakuwa na lolote lenye faida chini ya jua.+