Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwanadamu anapata faida gani katika kazi yake yote iliyo ngumu anayoifanya+ kwa bidii chini ya jua?+

  • Mhubiri 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nikauchukia uzima,+ kwa sababu ninavyoona ni kwamba kazi ambayo imefanywa chini ya jua ni yenye msiba,+ kwa maana kila jambo lilikuwa ni ubatili na kufuatilia upepo.+

  • Mathayo 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?

  • 1 Timotheo 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana hatukuleta chochote katika ulimwengu, wala hatuwezi kuchukua chochote nje.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki