Mhubiri 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwanadamu anapata faida gani katika kazi yake yote iliyo ngumu anayoifanya+ kwa bidii chini ya jua?+ Mhubiri 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nikauchukia uzima,+ kwa sababu ninavyoona ni kwamba kazi ambayo imefanywa chini ya jua ni yenye msiba,+ kwa maana kila jambo lilikuwa ni ubatili na kufuatilia upepo.+ Mathayo 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake? 1 Timotheo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana hatukuleta chochote katika ulimwengu, wala hatuwezi kuchukua chochote nje.+
3 Mwanadamu anapata faida gani katika kazi yake yote iliyo ngumu anayoifanya+ kwa bidii chini ya jua?+
17 Nami nikauchukia uzima,+ kwa sababu ninavyoona ni kwamba kazi ambayo imefanywa chini ya jua ni yenye msiba,+ kwa maana kila jambo lilikuwa ni ubatili na kufuatilia upepo.+
26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?