Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo ikiwa hivi ndivyo unavyonifanyia, tafadhali niue kabisa,+ ikiwa nimepata kibali machoni pako, wala usiache niutazame msiba wangu.”

  • 1 Wafalme 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye mwenyewe akaingia nyikani safari ya siku moja, mwishowe akafika na kuketi chini ya mretemu fulani.+ Naye akaanza kuomba kwamba nafsi yake ife na kusema: “Inatosha! Sasa, Ee Yehova, iondoe nafsi yangu,+ kwa maana mimi si bora kuliko mababu zangu.”

  • Ayubu 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Siku zangu zimepita upesi+ kuliko chombo cha mfumaji,

      Nazo hufikia mwisho katika hali ya ukosefu wa tumaini.+

  • Yeremia 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa nini nimetoka ndani ya tumbo la uzazi+ ili kuona kazi ngumu na huzuni+ na ili siku zangu zifikie mwisho wake katika aibu tupu?+

  • Yona 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na sasa, Ee Yehova, tafadhali, iondoe nafsi yangu+ kutoka kwangu, kwa maana ni afadhali mimi nife kuliko niwe hai.”+

  • Waroma 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili,+ si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yeye aliyeutiisha hivyo, juu ya msingi wa tumaini+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki