Hesabu 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo ikiwa hivi ndivyo unavyonifanyia, tafadhali niue kabisa,+ ikiwa nimepata kibali machoni pako, wala usiache niutazame msiba wangu.” Ayubu 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa nini kuna wale wanaongojea kifo, wala hakipo,+Ijapokuwa wanaendelea kuchimba wakikitafuta kuliko kutafuta hazina zilizofichwa? Yona 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na sasa, Ee Yehova, tafadhali, iondoe nafsi yangu+ kutoka kwangu, kwa maana ni afadhali mimi nife kuliko niwe hai.”+
15 Kwa hiyo ikiwa hivi ndivyo unavyonifanyia, tafadhali niue kabisa,+ ikiwa nimepata kibali machoni pako, wala usiache niutazame msiba wangu.”
21 Kwa nini kuna wale wanaongojea kifo, wala hakipo,+Ijapokuwa wanaendelea kuchimba wakikitafuta kuliko kutafuta hazina zilizofichwa?
3 Na sasa, Ee Yehova, tafadhali, iondoe nafsi yangu+ kutoka kwangu, kwa maana ni afadhali mimi nife kuliko niwe hai.”+