Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 102:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Siku zangu ni kama kivuli ambacho kimepungua,+

      nami mwenyewe nimekauka kama majani tu.+

  • Zaburi 103:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+

      Yeye huchanuka kama ua la shambani.+

  • Zaburi 144:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwanadamu anafanana na pumzi tu;+

      Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+

  • Yakobo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki