Ayubu 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo, basi, liko wapi tumaini langu?+Na tumaini langu—ni nani anayeliona? Waroma 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili,+ si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yeye aliyeutiisha hivyo, juu ya msingi wa tumaini+
20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili,+ si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yeye aliyeutiisha hivyo, juu ya msingi wa tumaini+