11 Lakini nilipofikiria kazi zote nilizofanya kwa mikono yangu mwenyewe na kazi yangu yote ngumu niliyofanya kwa jasho ili kuitimiza,+ niliona kwamba kila kitu kilikuwa ubatili, kukimbiza upepo;+ hakukuwa na kitu chochote chenye thamani ya kweli chini ya jua.+