Mhubiri 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtu hupata faida gani kutokana na kazi yake yote ngumuAnayofanya kwa jasho chini ya jua?+ Mhubiri 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikachukia maisha,+ kwa sababu kila jambo linalofanywa chini ya jua lilionekana kwangu kuwa lenye kuhuzunisha, kwa sababu kila jambo lilikuwa ubatili,+ kukimbiza upepo.+
17 Basi nikachukia maisha,+ kwa sababu kila jambo linalofanywa chini ya jua lilionekana kwangu kuwa lenye kuhuzunisha, kwa sababu kila jambo lilikuwa ubatili,+ kukimbiza upepo.+