11 Lakini nilipofikiria kazi zote nilizofanya kwa mikono yangu mwenyewe na kazi yangu yote ngumu niliyofanya kwa jasho ili kuitimiza,+ niliona kwamba kila kitu kilikuwa ubatili, kukimbiza upepo;+ hakukuwa na kitu chochote chenye thamani ya kweli* chini ya jua.+
27 Msifanye kazi kwa ajili ya chakula kinachoharibika, bali kwa ajili ya chakula kinachodumu kufikia uzima wa milele,+ ambacho Mwana wa binadamu atawapa ninyi; kwa maana Baba, Mungu mwenyewe, amemtia muhuri wake wa kibali.”+