Marko 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa kweli, mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote kisha apoteze uhai wake?*+ Luka 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa kweli, mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini apoteze uhai wake au apate hasara?+
25 Kwa kweli, mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini apoteze uhai wake au apate hasara?+