Zaburi 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Anaona kwamba hata watu wenye hekima hufa;Wapumbavu na wasiotumia akili huangamia pamoja,+Nao hulazimika kuwaachia wengine mali zao.+ Mhubiri 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Niliona kazi zote zilizofanywa chini ya jua,Na, tazama! kila jambo lilikuwa ubatili, kukimbiza upepo.+ Mhubiri 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hakuna atakayekumbukwa daima, iwe ni mwenye hekima au mpumbavu.+ Siku zijazo, kila mtu atasahauliwa. Na mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mpumbavu.+ 1 Timotheo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana hatukuleta chochote ulimwenguni, wala hatuwezi kuondoka na chochote.+
10 Anaona kwamba hata watu wenye hekima hufa;Wapumbavu na wasiotumia akili huangamia pamoja,+Nao hulazimika kuwaachia wengine mali zao.+
14 Niliona kazi zote zilizofanywa chini ya jua,Na, tazama! kila jambo lilikuwa ubatili, kukimbiza upepo.+
16 Kwa maana hakuna atakayekumbukwa daima, iwe ni mwenye hekima au mpumbavu.+ Siku zijazo, kila mtu atasahauliwa. Na mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mpumbavu.+