16 Kwa maana hakuna atakayekumbukwa daima, iwe ni mwenye hekima au mpumbavu.+ Siku zijazo, kila mtu atasahauliwa. Na mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mpumbavu.+
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia dhambi,+ basi kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.