Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini kuhusu mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile matunda yake, kwa maana siku utakapokula matunda yake hakika utakufa.”+

  • Mwanzo 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo, mwanamke akaona kwamba mti huo ulifaa kwa chakula na kwamba ulikuwa kitu kinachotamanika kwa macho, naam, mti huo ulipendeza macho. Basi akaanza kuchuma matunda ya mti huo na kula.+ Baadaye, akampa pia mume wake baadhi ya matunda hayo alipokuwa pamoja naye, naye akaanza kula.+

  • Mwanzo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula* mpaka utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitolewa humo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+

  • 1 Wakorintho 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa kuwa kifo kilikuja kupitia mwanadamu,+ ufufuo wa wafu pia unakuja kupitia mwanadamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki