3 Lakini kwa njia fulani, ninaogopa kwamba kama nyoka alivyomshawishi Hawa kwa ujanja,+ huenda akili zenu zikapotoshwa kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi* unaomfaa Kristo.+
14 Lakini kila mtu hujaribiwa kwa kuvutwa na kushawishiwa* na tamaa yake mwenyewe.+15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi; nayo dhambi, baada ya kufanywa, huleta kifo.+