Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa hakika kila mwanadamu hutembea huku na huku kama kivuli.

      Hukimbia huku na huku* bila sababu.

      Hurundika mali, bila kujua ni nani atakayeifurahia.+

  • Methali 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+

      Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+

  • Methali 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Usijichoshe kupata utajiri.+

      Acha, na uonyeshe uelewaji.*

  • Mhubiri 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nikachukia vitu vyote nilivyokuwa nimefanya kazi ngumu chini ya jua ili kuvipata,+ kwa sababu ni lazima nimwachie mtu atakayekuja baada yangu.+

  • Luka 12:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kisha nitajiambia:* “Una* vitu vingi vizuri ulivyokusanya kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na ujifurahishe.”’ 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki