Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 2:4-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nilianza kufanya mambo makubwa.+ Nikajijengea nyumba;+ Nikajipandia mashamba ya mizabibu.+ 5 Nikajitengenezea mashamba na bustani, na humo nikapanda miti ya matunda ya kila aina. 6 Nikajichimbia mabwawa ya maji, ili kumwagilia maji msitu wenye miti iliyokuwa ikisitawi. 7 Nikapata watumishi wa kiume na wa kike,+ na watumishi wengine walizaliwa nyumbani mwangu.* Pia, nilipata mifugo mingi—ng’ombe na kondoo na mbuzi+—kuliko mtu yeyote aliyenitangulia Yerusalemu. 8 Nikajikusanyia fedha na dhahabu,+ hazina za* wafalme na za mikoa.+ Nikajikusanyia waimbaji wa kiume na wa kike, na pia chanzo cha raha tele kwa wanaume—mwanamke, naam, wanawake wengi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki