14 Na dhahabu iliyoletwa kwa Sulemani katika mwaka mmoja ilikuwa na uzito wa talanta 666 za dhahabu,+15 mbali na dhahabu iliyoletwa na wafanyabiashara wasafiri na pia faida kutoka kwa wauzaji wa bidhaa na kutoka kwa wafalme wote wa Uarabuni na magavana wa nchi.
13 Na dhahabu iliyoletwa kwa Sulemani katika mwaka mmoja ilikuwa na uzito wa talanta 666 za dhahabu,+14 mbali na dhahabu iliyoletwa na wafanyabiashara wasafiri na wauzaji wa bidhaa na wafalme wote wa Uarabuni na magavana wa nchi waliokuwa wakimletea Sulemani dhahabu na fedha.+