-
1 Wafalme 9:17-19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Sulemani akalijenga* jiji la Gezeri, Beth-horoni la Chini,+ 18 Baalathi,+ na Tamari lililo nyikani, yaliyokuwa nchini, 19 na pia majiji yote ya Sulemani yenye maghala, majiji ya magari ya vita,+ majiji ya wapanda farasi, na chochote ambacho Sulemani alitamani kujenga huko Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote iliyokuwa chini ya mamlaka yake.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 9:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Mfalme Sulemani alitengeneza ngao kubwa 200 za dhahabu iliyochanganywa na madini mengine+ (kwa kila ngao alitumia shekeli 600* za dhahabu hiyo)+ 16 na ngao ndogo* 300 za dhahabu iliyochanganywa na madini mengine (kwa kila ngao ndogo alitumia mina tatu* za dhahabu). Kisha mfalme akaziweka katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni.+
-