-
2 Mambo ya Nyakati 8:4-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Kisha akajenga tena jiji la Tadmori kule nyikani na majiji yote yenye maghala+ aliyokuwa amejenga Hamathi.+ 5 Alijenga pia Beth-horoni ya Juu+ na Beth-horoni ya Chini,+ majiji yenye ngome yaliyokuwa na kuta, malango, na makomeo, 6 na Baalathi+ na pia majiji yote ya Sulemani yenye maghala, majiji yote ya magari ya vita,+ majiji ya wapanda farasi, na chochote ambacho Sulemani alitamani kujenga huko Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote iliyokuwa chini ya mamlaka yake.
-