Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na nchi ambayo wazao wa Yosefu+ waligawiwa*+ ilianzia Yordani huko Yeriko hadi kwenye vijito vilivyo upande wa mashariki wa Yeriko, na kupitia nyikani hadi Yeriko katika eneo lenye milima la Betheli.+

  • Yoshua 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 nayo ikashuka kwenda magharibi hadi kwenye mpaka wa Wayafleti kufikia mpaka wa Beth-horoni+ ya Chini na Gezeri,+ na kufika kwenye bahari.

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha akajenga tena jiji la Tadmori kule nyikani na majiji yote yenye maghala+ aliyokuwa amejenga Hamathi.+ 5 Alijenga pia Beth-horoni ya Juu+ na Beth-horoni ya Chini,+ majiji yenye ngome yaliyokuwa na kuta, malango, na makomeo, 6 na Baalathi+ na pia majiji yote ya Sulemani yenye maghala, majiji yote ya magari ya vita,+ majiji ya wapanda farasi, na chochote ambacho Sulemani alitamani kujenga huko Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote iliyokuwa chini ya mamlaka yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki