Yoshua 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na nchi ambayo wazao wa Yosefu+ waligawiwa*+ ilianzia Yordani huko Yeriko hadi kwenye vijito vilivyo upande wa mashariki wa Yeriko, na kupitia nyikani hadi Yeriko katika eneo lenye milima la Betheli.+ Yoshua 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nayo ikashuka kwenda magharibi hadi kwenye mpaka wa Wayafleti kufikia mpaka wa Beth-horoni+ ya Chini na Gezeri,+ na kufika kwenye bahari. 1 Mambo ya Nyakati 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na binti yake alikuwa Sheera, aliyejenga Beth-horoni ya Chini+ na ya Juu+ na Uzen-sheera.
16 Na nchi ambayo wazao wa Yosefu+ waligawiwa*+ ilianzia Yordani huko Yeriko hadi kwenye vijito vilivyo upande wa mashariki wa Yeriko, na kupitia nyikani hadi Yeriko katika eneo lenye milima la Betheli.+
3 nayo ikashuka kwenda magharibi hadi kwenye mpaka wa Wayafleti kufikia mpaka wa Beth-horoni+ ya Chini na Gezeri,+ na kufika kwenye bahari.