Mwanzo 49:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Yosefu+ ni chipukizi la mti unaozaa matunda mengi, mti ulio kando ya chemchemi unaozaa matunda mengi, wenye matawi yanayoenea juu ya ukuta. Kumbukumbu la Torati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Alisema hivi kumhusu Yosefu:+ “Nchi yake na ibarikiwe na Yehova+Kwa vitu bora vya mbinguni,Kwa umande na maji kutoka katika chemchemi zilizo chini,+
22 “Yosefu+ ni chipukizi la mti unaozaa matunda mengi, mti ulio kando ya chemchemi unaozaa matunda mengi, wenye matawi yanayoenea juu ya ukuta.
13 Alisema hivi kumhusu Yosefu:+ “Nchi yake na ibarikiwe na Yehova+Kwa vitu bora vya mbinguni,Kwa umande na maji kutoka katika chemchemi zilizo chini,+