Yoshua 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kabila la Benjamini liligawiwa urithi wao kwa kura kulingana na koo zao, walipewa urithi kati ya kabila la Yuda+ na wazao wa Yosefu.+ Yoshua 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha ukaendelea mpaka Luzi kwenye mteremko wa kusini wa Luzi, yaani, Betheli;+ nao ukashuka hadi Ataroth-adari+ kwenye mlima ulio upande wa kusini wa Beth-horoni ya Chini.+ 1 Mambo ya Nyakati 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na binti yake alikuwa Sheera, aliyejenga Beth-horoni ya Chini+ na ya Juu+ na Uzen-sheera.
11 Kabila la Benjamini liligawiwa urithi wao kwa kura kulingana na koo zao, walipewa urithi kati ya kabila la Yuda+ na wazao wa Yosefu.+
13 Kisha ukaendelea mpaka Luzi kwenye mteremko wa kusini wa Luzi, yaani, Betheli;+ nao ukashuka hadi Ataroth-adari+ kwenye mlima ulio upande wa kusini wa Beth-horoni ya Chini.+