Zaburi 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hakika kila mwanadamu hutembea huku na huku kama kivuli. Hukimbia huku na huku* bila sababu. Hurundika mali, bila kujua ni nani atakayeifurahia.+ Luka 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+
6 Kwa hakika kila mwanadamu hutembea huku na huku kama kivuli. Hukimbia huku na huku* bila sababu. Hurundika mali, bila kujua ni nani atakayeifurahia.+
20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+