Mhubiri 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Niliona kazi zote zilizofanywa chini ya jua,Na, tazama! kila jambo lilikuwa ubatili, kukimbiza upepo.+ Mhubiri 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Huu pia ni msiba mkubwa:* Kama tu alivyokuja, ndivyo atakavyoenda; na mtu ambaye anafanya kazi kwa bidii daima kwa ajili ya upepo anapata faida gani?+
14 Niliona kazi zote zilizofanywa chini ya jua,Na, tazama! kila jambo lilikuwa ubatili, kukimbiza upepo.+
16 Huu pia ni msiba mkubwa:* Kama tu alivyokuja, ndivyo atakavyoenda; na mtu ambaye anafanya kazi kwa bidii daima kwa ajili ya upepo anapata faida gani?+