Mathayo 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa kweli mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini apoteze uhai wake?*+ Au mtu atatoa nini ili abadilishane na uhai wake?*+ Yohana 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Msifanye kazi kwa ajili ya chakula kinachoharibika, bali kwa ajili ya chakula kinachodumu kufikia uzima wa milele,+ ambacho Mwana wa binadamu atawapa ninyi; kwa maana Baba, Mungu mwenyewe, amemtia muhuri wake wa kibali.”+
26 Kwa kweli mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini apoteze uhai wake?*+ Au mtu atatoa nini ili abadilishane na uhai wake?*+
27 Msifanye kazi kwa ajili ya chakula kinachoharibika, bali kwa ajili ya chakula kinachodumu kufikia uzima wa milele,+ ambacho Mwana wa binadamu atawapa ninyi; kwa maana Baba, Mungu mwenyewe, amemtia muhuri wake wa kibali.”+